maporomoko

maporomoko

Monday, August 13, 2012

Picture: Nathan Mpangala Je?bajeti hiyo ikipita mawazo ya kizazi hiki yatabadilika?jiulize alfu .Picture
Wageni wakisikiliza hotuba ikisomwa na Dkt. Kawambwa (hayupo pichani) Bungeni leo (picha: Picha na Anna Nkinda – Maelezo)


Picture: Dkt. Shukuru Kawambwa na Sylvester Mabumba
Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kulia) akiongea jambo na Mbunge wa Dole, Sylvester Mabumba (kushoto) nje ya ukumbi wa bunge leo mjini Dodoma. Dk. Kawambwa amewasilisha leo hotuba ya wizara hiyo ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2012/2013. (picha: Picha na Anna Nkinda – Maelezo)

No comments:

Post a Comment