maporomoko

maporomoko

Wednesday, August 29, 2012

DINA PAT ILIYOWASHIRIKISHA ZAIDI YA WATENDAJI 450 KUTOKA ALIMASHAURI MBALIMBALI AMBAZO NI WANANCHAMA WA LVRLAC YANI MUUNGANO WA ALIMASHAURI 130 KUTOKA KATIKA NCHI ZA TANZANIA,BURUNDI,RWANDA,UGANDA NA KENYA.HII KITU NI NDANI YA BUKOBA CLUB MKOANI KAGERA.


Hapa wakubwa wanawasili ndani ya viwanja vya BUKOBA CLUB ambapo mpango mzima ulitake place palepale.
Huu ni mfano tu wa meza za wadau jinsi zilizvyokuwa.

Kushoto ni kanali mstaafu Fabiani Masawe baada ya kumkaribisha jembe waziri wa afrika mashariki mhe.Samweli Sita ili afungua DINNA hiyo wadau wapate kuserebleiti.
Jembe baada ya kuambiwa uwanja ni wake akaanza kutoa vitu.
mwenyekiti wa LVRLAC hapa nchini Tanzania DCT Anaotry Amani ambaye pia ni mstahiki meya wa manispaa ya bukoba akapata kuongea neno baada ya kupokea ugeni huu mkubwa.




Huyu mzee kati ni msema chochote ni noma yuko vizuri katika kila lugha.
Muda ukawadia majembe kama ilivyo ada foreni ndio mpango Sita akawa wa kwanza kama mgeni Rasimi.

umesema hizi ni BIFU au?
Haaaaaaaaa imetosha weka kidogo.

DCT Anatory katika foreni ya msosi 
Sherehe ni kula bwana asikwambie mtu sasa baada ya meza ya protocal. hapa kila aliyeudhuria akapata nafasi yakujivinjari yeye mwenyewe na sahani yake.

Ngoma ya kihaya pia ilikuwepo

No comments:

Post a Comment