maporomoko

maporomoko

Saturday, August 11, 2012

Mkutano wa CHADEMA Ruaha: AkinAa Mama mumo humo, Wababa mule mule, Watoto huko huko


 
Picture: CHADEMA Ruaha
Wakaziwa mji wa Lupiro katika jimbo la Ulanga Magharibi wakiitikia kibwagizo cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) cha "Poeples Power", wakati wa mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa. (Picha na Joseph Senga via Habari Mseto Blog)
Picture
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ruaha katika jimbo la Ulanga Mashariki mkoani Morogoro, wakinunua kadi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mara baada ya mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dkt. Willibrod Slaa, ukiwa ni mwendelezo wa kampeni za Operesheni Sangara. (Picha na Joseph Senga via Habari Mseto Blog)

No comments:

Post a Comment