maporomoko

maporomoko

Wednesday, August 29, 2012

umewahi kusikia kitegera hili kwa wanakagera ni kitu cha kawaida.mcheki bwana william rutta akiwa katika kinywaji kwa kutumia kitegera.







Katika kuendeleza utalii wa ndani, mdau William Rutta akifahamika sana kwa jina la Willy Kiroyera Tours alitembelea maeneo ya Ishozi Kabyaile na kukutana wajasiliamali wakitegeneza orubisi kutoka kwenye kifaa chake maalum kijulikanacho kwa kihaya Obwato
 
 ORUBISI_AKITEGELA.JPG
 
 
 
Kitu cha kwanza ilikuwa kuwaonyesha  kuwa Willy anaweza kutegeneza Orutegera na kunywea kwenye majani hayo ya mogomba. Je unajua majani ya migomba yanatumika kwa mara 21 kwa njia tofautI- Inafutata ( oluhompo, ekitegera, omwamvuli, endosho, eshaani yo kulilao, nyingine baadae)
 
_amalula.JPG

No comments:

Post a Comment